fcntv

Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks
  • HOME
  • RATIBA ZA VIPINDI
  • UDHAMINI
    • PIGA SIMU
    • EMAIL
    • SMS
  • MALIPO YA HUDUMA
  • MATANGAZO
  • MATAWI YETU
    • Dodoma
    • Igunga
    • Kahama
  • HABARI
  • MAGAZETI
  • VIDEO MPYA

skip to main | skip to sidebar
Home » HABARI » DR. MAGUFULI ANAWEZA KUMTEUA WAZIRI MKUU KUTOKA UPINZANI??????

DR. MAGUFULI ANAWEZA KUMTEUA WAZIRI MKUU KUTOKA UPINZANI??????



Swali linalogonga vichwa vya waandishi mbalimbali na wananchi ni nani atateuliwa kuwa waziri mkuu???

tulia ackson

Nimempata kwenye exclusive ya Dk.Tulia Ackson ambaye ni wakili wa serikali ambaye pia aliteuliwa kuwa Naibu Mwanasheria mkuu wa serikali kwenye utawala wa Jakaya Kikwete, anayo majibu haya kuhusu uwezekano wa serikali ya Tanzania kuongozwa na Waziri Mkuu ambaye anatoka chama cha upinzani >>> ‘Sheria inamwezesha kufanya hivyo lakini Katiba imeweka Masharti kwamba Waziri Mkuu atoke wapi, hayo masharti yako matatu.
  1. Ni lazima Waziri Mkuu atoke katika Wabunge wa kuchaguliwa kutoka Majimboni.
  2. Ni lazima atoke chama chenye Wabunge wengi Bungeni, maana yake ni kwamba Rais akimteua Waziri Mkuu kutoka chama chenye Wabunge wengi ni lazima ataungwa mkono… lazima Waziri Mkuu aungwe mkono na Wabunge wengi.
  3. Ikitokea hakuna chama chenye Wabunge wengi Bungeni, Rais anaruhusiwa kuteua mtu yoyote ambaye ni Mbunge toka Bungeni.. awe ni Mbunge anayeungwa mkono na Wabunge wengi‘ >>> Dk.Tulia Ackson
Share this article :
Posted by Unknown at 12:40 AM
Email This BlogThis! Share to X Share to Facebook
Labels: HABARI

0 comments:

Post a Comment

Newer Post Older Post Home
Subscribe to: Post Comments (Atom)

TAZAMA FCN TV LIVE


Live streaming video by Ustream

World News

Blog Archive

  • ▼  2015 (6)
    • ▼  November (6)
      • MARTIN KADINDA GEREZANI KWA JACKY CLIFF CHINA..
      • DR. MAGUFULI ANAWEZA KUMTEUA WAZIRI MKUU KUTOKA UP...
      • RAIS MAGUFULI AWAGEUKIA MUHIMBILI
      • Siku moja baada ya Rais Magufuli kwenda Muhimbili ...
      • Magazeti ya Tanzania leo Novemba 11, 2015 yameamka...
      • Misri yazuia ndege za shirika la Uingereza
Powered by Blogger.

Labels

  • HABARI
  • MAGAZETI
  • VIDEO MPYA

About Me

Unknown
View my complete profile
 
Designed : Created by | Spacerz Creation | @spacerz2
Copyright © 2015. fcntv - HAKI ZOTE ZIMEHIFADHIWA
Created by @spacerz2
Powered by @spacerz2